Muonekano wa Maji yakivuka Daraja La Mungu Izumbwe
Muonekano wa Mwamba wa Mawe Katika Daraja la Mungu Izumbwe
Muonekano wa Juu wa Daraja La Mungu Izumbwe
Namna Daraja Linavyoonekana
Zaka akiendelea kuchukua matukio mbalimbali wakati wa zoezi letu.
Daraja la Mungu Izumbwe ni moja kati ya vivutio vipatikanavyo Wilaya Mbeya vijijini katika kijiji cha Izumbwe Mkoani Mbeya Daraja hili linaunganisha pande mbili za Mto Mbalizi, Wenyeji huita Daraja La Mungu hii yote ni kutokana kwamba limeundwa na Mungu hakuna binadamu yeyote aliyehusika katika kulijenga, mfano kusogeza mawe, kulete mchanga, kulete Nondo NK. limeundwa kwa mwamba wa mawe tu
Daraja hili kuweza kufika hapa unafika mbalizi kisha unakunja katika njia ielekeayo Umalila, ukifika katika kanisa la moravian usharika wa Izumbwe kuna njia ielekeayo kushoto mbele kidogo ndipo lilipo daraja hili.
Katika daraja hili magari ya aina zote hupita ambayo ni makubwa kwa madogolakini cha kushangaza madereva wengi wanapopita hapa hawajawahi kujua ni Daraja La Mungu hudhani ni Daraja la Kujengwa
Msimu Mzuri Wa Kutembelea
Daraja hili linafikika msimu yote ya Mwaka japokuwa kuanzia mwezi wa tatu hadi wa sita huwa kuna mvua.
Daraja la Mungu (Swahili) or God's bridge in English is a large natural bridge that connect the two banks of Mbalizi river that was naturally formed without any human engineering and yet remained ironic stronger till today, Despite not being engineered to do so, the bridge can withstand large loads such as Motorcycle, vehicles and etc.. It’s found in Izumbwe village Mbeya rural district. IZUMBWE GOD'S BRIDGE have a clear surface that allows cars/vehicles to pass on it, Share with friends to let them know about this newly discovered Gods Bridge.
Best time to visit
You can Visit the Bridge at any time during the year though from March to June there is rain.
Daraja hili kuweza kufika hapa unafika mbalizi kisha unakunja katika njia ielekeayo Umalila, ukifika katika kanisa la moravian usharika wa Izumbwe kuna njia ielekeayo kushoto mbele kidogo ndipo lilipo daraja hili.
Katika daraja hili magari ya aina zote hupita ambayo ni makubwa kwa madogolakini cha kushangaza madereva wengi wanapopita hapa hawajawahi kujua ni Daraja La Mungu hudhani ni Daraja la Kujengwa
Msimu Mzuri Wa Kutembelea
Daraja hili linafikika msimu yote ya Mwaka japokuwa kuanzia mwezi wa tatu hadi wa sita huwa kuna mvua.
Daraja la Mungu (Swahili) or God's bridge in English is a large natural bridge that connect the two banks of Mbalizi river that was naturally formed without any human engineering and yet remained ironic stronger till today, Despite not being engineered to do so, the bridge can withstand large loads such as Motorcycle, vehicles and etc.. It’s found in Izumbwe village Mbeya rural district. IZUMBWE GOD'S BRIDGE have a clear surface that allows cars/vehicles to pass on it, Share with friends to let them know about this newly discovered Gods Bridge.
Best time to visit
You can Visit the Bridge at any time during the year though from March to June there is rain.
Project Name Karibu Southern Circuit
Photo Credit: ThatMbeyaguy Article: Uyole cultural tourism enterprise Video: Mazplusfly
Help us to share with your friends
Photo Credit: ThatMbeyaguy Article: Uyole cultural tourism enterprise Video: Mazplusfly
Help us to share with your friends
Book Your trip with us.
Email: uyolecte@gmail.com
+255 783 545 464
Twitter :Uyolecte
Facebook acc: Uyole Cte
Blog: uyolecte.blogspot.com
Website: www.uyolecultural.com
Click Here to Follow us on Instagram
Facebook page: Uyole Cultural Tourism Enterprises
Things to do in Mbeya | Mbeya tourist atractions | Uyole cultural tourism enterprise
Email: uyolecte@gmail.com
+255 783 545 464
Twitter :Uyolecte
Facebook acc: Uyole Cte
Blog: uyolecte.blogspot.com
Website: www.uyolecultural.com
Click Here to Follow us on Instagram
Facebook page: Uyole Cultural Tourism Enterprises
Things to do in Mbeya | Mbeya tourist atractions | Uyole cultural tourism enterprise
Comments
Post a Comment